REAL Madrid bado inafanya mbinu za kimafia ili kumsajili straika wa Paris St. Germain (PSG), Kylian Mbappe. Klabu hiyo inasubiri hatma ya...
Liverpool kutenga kitita cha fedha kumng’oa Marco Asensio Real Madrid
Klabu ya Liverpool inahusishwa kuhitaji huduma ya kiungo wa Real Madrid, Marco Asensio na hivyo kulazimika kutenga kitita cha pauni milion...
Maradona atenga kitita kirefu kumnasa aliyemzushia kifo
Nyota wa zamani wa timu ya taifa ya Argentina Diego Maradona ametangaza ofa ya dola 10,000 za Marekani (sawa na Tsh. Milioni 22,75) kwa m...
Barcelona yatajwa kinara wa mkwanja mbele ya Man United, Madrid
BARCELONA imetajwa kuwa klabu ya soka inayoongoza kwa kuingiza fedha nyingi kutokana na malipo ya udhamini, ikiwa inaingiza pauni 187m ...
Simba wachimbwa biti zito na Kocha wake
Kocha wa zamani wa Simba, Dylan Kerr ametoa onyo kwa waajiri wake hao wa zamani akiweka msisitizo kuhusiana na suala la kiungo Francis Ka...
Lipuli haishikiki, yaongezea mikataba mastaa wake
Baada ya kufanikiwa kupanda Ligi Kuu msimu wa 2017/18 na kufanya vizuri ikifanikiwa kumaliza katika nafasi ya 7 kwenye msimamo, klabu ya s...
AC Milan yakutana na rungu la UEFA
WAKONGWE wa soka nchini Italia, AC Milan wamefungiwa kushiriki michuano ya Ulaya kwa mwaka mmoja kutokana na kukiuka kanuni za soka. Ti...
Tuzo za Ligi kuu Tanzania kutolewa Kesho
Tuzo za Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa mwaka 2017/18 zinatarajiwa kutolewa kesho Jumamosi Juni 23,2018 kwenye ukumbi wa Mlimani City na m...
Wakongo watua nchini leo
Timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (The Leopards) kimetua nchini asubuhi ya leo tayari kuikabili timu ya taifa ya Tanzania ...
Donald Ngoma kuanza mazoezi kesho
Mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma, anatarajiwa kuanza mazoezi na kikosi cha timu hiyo kesho Jumatatu. Kwa mujibu wa kauli ya ...
Klabu ya Chelsea yapata pigo
Klabu ya soka ya Chelsea kuelekea mchezo wake wa ligi kuu ya England dhidi ya Tottenham, huenda ikamkosa mlinda mlango wake namba moja Thi...
Mahusiano ya Pogba na Mourinho yaelekea kubaya
Imeripotiwa kuwa mahusiano ya kiungo wa Manchester United, Mfaransa, Paul Pogba na Kocha wake Jose Mourinho si mazuri. Kwa mujibu wa Daily...
Liverpool kumuongezea mkataba Mohamed Salah
Uongozi wa klabu ya Liverpool upo kwenye mipango ya kumuongezea mkataba mwingine Mshambuliaji wake kutoka Misri, Mohamed Salah. Taarifa zi...
RONALDO ANATAKA MSHAHARA MKUBWA KULIKO MESSI
Taarifa zinaelezwa kuwa nyota wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo anaweza akawa mchezaji anayelipwa zaidi kuliko m...
Ronaldo ataka kuvunja rekodi Messi
Taarifa zinaelezwa kuwa nyota wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo anaweza akawa mchezaji anayelipwa zaidi kuliko m...
Ngoma aruhusiwa na Daktari kuwavaa Waethiopia
Daktari Mkuu wa Yanga, Edward Bavu amemruhusu mshambuliaji wao Donald Ngoma kucheza dhidi ya Wolayta Dicha ya Ethiopia kwa kumuanzishia pr...
Ajibu awatuliza mashabiki wa Yanga
LICHA ya kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Township Rollers katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu amewa...
TFF kuzisaidia Simba, Yanga CAF
UONGOZI wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) umesema kuwa unajipanga kuhakikisha unazisaidia timu za Simba na Yanga ili zifanye vizuri ka...
Haji Manara asema Liverpool ikiifunga Manchester anahama CCM
Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa ikitokea majogoo wa Uingereza, timu ya Liverpool ikaifunga Manchester United kat...
Hii ndio sababu ya Pogba kuachwa nje ya kikosi leo
Kocha wa Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa amemwacha nje ya kikosi kiungo wa timu hiyo Paul Pogba ktokana na kuumia kwenmye maz...



















