Ligi Kuu soka Tanzania bara
imeendelea tena Jumamosi ya Septemba 24 2016 kwa michezo mitano
kuchezwa katika viwanja vitano tofauti, moja kati ya mchezo uliochezwa
ni Simba waliwakaribisha Majimaji FC katika
Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam, katika mchezo ambao kila mmoja
alikuwa anawania kupata ushindi na kuondoka na point tatu.
Simba imefanikiwa kuondoka na point tatu
ambapo wameifunga Majimaji FC goli 4-0 magoli ambayo yamefungwa katika
Dakika ya 4′ na 74′ ya mchezo kupitia kwa Mnyate, mkwaju wa penati uliofungwa na Kichuya katika dakika ya 67′ na 81′ na kukamilisha idadi ya goli 4-
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment