Baada ya vichwa vyote vya habari na kwamba siku hii Jeshi la Wananchi wa Tanzania limeamua kuitumia kuadhimisha miaka yake 52, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe leo August 31 mbele ya waandishi wa habari Dar es salaam ameyasema yafuatayo.
>> ‘Tunaahirisha mikutano, maandamano UKUTA kwa mwezi mmoja ili kutoa fursa kwa viongozi wa dini kutafuta muafaka-Mbowe‘ – Freeman Mbowe
Post a Comment