0

Utangulizi

Kukonda, kudhoofika  na/ ama  kupungua  uzito  bila  sababu  ni  tatizo  linalo  wakabilia  watu wengi  duniani.
 
Mgonjwa  hupungua    hukonda, kudhoofika  na  kupungua  uzito kwa  kasi  bila   sababu  ya  msingi  kama  vile  kuanya  diet  maalumu  ya  kupunguza  uzito  au  kufanya  mazoezi  maalumu  ya  kupunguza  uzito.
 
Hali  hii  ( kupungua  mwili na  uzito  bila  kufanya diet  au  mazoezi)  inapotokea, ndipo  tunasema, mhusika  amedhoofu  mwili.

Chanzo  Cha  Tatizo  La  Kudhoofu  Mwili
Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitabibu,  tatizo  la  kupungua  uzito na  kudhoofu  mwili, husababishwa  na  mambo  yafuatayo ;

i.Kuugua  magonjwa  na  maradhi  mbalimbali  kama  vile  kisukari  nakadhalika.
ii.Ukosefu  wa  lishe  bora
iii. Msongo  wa  mawazo
iv.Ukosefu  wa  hamu  ya  kula

Dalili   Za  Mtu  Aliye  Dhoofu  Mwili
Dalili  za  mtu  aliye  dhoofu  mwili, hutegemea  na  aina  ya  kirutubisho  ambacho mwili  umekikosa.

Lakini  hata  hivyo, zipo dalili  za  ujumla, ambazo huwatokea  watu wengi wenye  tatizo  la  kudhoofu  mwili.’

Dalili  hizo  ni  pamoja na :
i. Ngozi  kupauka
ii.Kujisikia  uchovu
iii. Mwili  kuwa  mwepesi  na  dhaifu
iv. Kupungua  uzito  kwa   kiwango kikubwa
v. Kupumua  kwa shida
vi. Mhusika kupenda  sana  chakula  cha  aina  moja  tu ilihali  hakiwa  hana appetite kabisa  na vyakula vya  aina nyingine.
vii.Nywele  kunyonyoka
viii. Kukosa  choo  ama  choo  kufunga
ix.  Mapigo  ya  moyo kwenda  kasi
x. Mwili kuishiwa  nguvu
xi. Miguu  kukosa  ganzi
xii.Kwa  wanawake : kupatwa  matatizo mbalimbali  ya  hedhi.

Tiba  Asilia  Ya  Tatizo  La Kudhoofu  Mwili
DAWA-LISHE   ni  tiba asilia inayo tibu  na  kuponyesha kabisa  tatizo la  kudhoofu mwili.

Tiba  hii  husaidia  kuunenepesha na   kuupa  nguvu  mwili  na  kuurejesha  katika  hali  yake  ya  kawaida.

Tiba  hii ni  ya  asili  kabisa ( Pure  HERBAL ), isiyo na  kemikali za  viwandani.

GHARAMA :  Dawa  hii, inapatikana  kwa gharama  ya  SHILINGI  ELFU  HAMSINI (Tshs.50,000/=)

Inauzwa   na  kusambazwa  na  duka  la  dawa  za asili  la  NEEMA  HERBALIST. Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM, nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA, jirani na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  waliopo  Dar  Es  Salaam, ambao  hawana  nafasi  ya  kuja  ofisini, watapelekewa  dawa  mahali  walipo  (  Home &  Ofice  Delivery )

Kwa  wateja  waliopo  mikoani, watatumiwa  dawa  kwa  mabasi  mbalimbali.

Kwa  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  boti.

Kwa  wateja  waliopo Mombasa, watatumiwa  dawa  kwa  gari  la  TAHMEED.

Kwa  wateja  waliopo  Nairobi, watatumiwa  dawa  kwa njia  ya  basi  la  DAR  EXPRESS.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba   0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu huduma zetu, endelea  kututembelea  kila  siku, katika  blogu yetu:

Post a Comment

 
Top