Q Chillah
Familia ya msanii wa bongo fleva Q Chilla wameamua kuingilia kati
mkataba wa msanii huyo na kusema mkataba huo unamfanya aishi maisha
magumu kiasi cha kushindwa kuchangia mambo yakifamilia.
Amesema familia hiyo imeamua kumuandikia barua bosi wa Q Chillah ambaye ni QS Mhonda kumuomba kubadilisha sehemu mbalimbali ambazo zinambana sana kijana wao kiasi cha kumsababishia kurudi alipotoka jambo linaloweza kumvurugia maisha yake.
Post a Comment