Kwaheri mpendwa wetu JOSEPH J. LWOGA ( ANCLE MILO) tulikupenda sana ila
ya M/mungu amekupenda zaidi umetutoka kama ndoto na umetuacha hatuamini
kama umetutoka mpendwa na leo hii Tarehe 10 / 1 / 2017 tumekulaza
katika makazi yako mapya katika makaburi ya Wahanga yaliopo Milimbili
Dodoma kwaheri mpendwa, kwaheri mpendwa, kwaheri mpendwa..
Pia Muungwana Blog Pamoja na NBC Club ya Dodoma tunapenda kutoa pole kwa
Familia Ya marehemu JOSEPH J. LWOGA ( ANCLE MILO) na pia tunaungana nao
kwenye kipindi hiki cha majonzi ya mpendwa wetu. M/mungu ailaze roho ya
marehemu JOSEPH J. LWOGA ( ANCLE MILO) mahala pema peponi.. Amin
Hizi ni picha za maziko ya mpendwa wetu JOSEPH J. LWOGA ( ANCLE MILO)
Post a Comment