Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam,Paul Makonda amewataja watuhumiwa 65 wa
Dawa za Kulevya,katika majia hayo ametajwa Freeman Mbowe,Mchungaji
Gwajima,Yusuf Manji,Idd Azzan.
Akizungumza na waandishi wa habari Ofisi kwake mapema leo jijini Dar,RC
Makonda ameingia katika awamu ya pili ya kutaja majina hayo na kuyaweka
hadharani,huku akieleza kuwa watuhumiwa hao watatakiwa kufika kituo cha
polisi kati siku ya Ijumaa,saa tano asubuhi kwa mahojiano zaidi.
Soma zaidi majina ya watuhumiwa wa sakala hilo la Dawa za kulevya.
Post a Comment