Zaidi ya wajasiriamali 20 wanatarajia kwenda nchini china kushiriki
maonyesho ya kibiashara ya Guangzhou, yaliyopangwa kuanza Aprili 14 hadi
20 mwaka huu, yakishirikisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali
duniani.
Safari ya wafanyabiashara hao wa kitanzania inaratibiwa na Taasisi ya sekta binafsi Tanzania TPSF kwa kushirikiana na Kampuni binafsi ya Kinyago Travel na Tours ya Dar es Salaam, ambazo kwa pamoja zimelenga kuhakikisha ushiriki wa Tanzania kwenye maonyesho hayo unakuwa wa mafanikio.
Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Bw. Godfrey Simbeye na Mkurugenzi wa Kampuni ya Kinaygo Diana Gaspar na baadhi ya wajasiriamali watakaoshiriki maonyesho hayo, wanaeleza ni kwa namna gani Tanzania itanufaika na maonyesho hayo.
Safari ya wafanyabiashara hao wa kitanzania inaratibiwa na Taasisi ya sekta binafsi Tanzania TPSF kwa kushirikiana na Kampuni binafsi ya Kinyago Travel na Tours ya Dar es Salaam, ambazo kwa pamoja zimelenga kuhakikisha ushiriki wa Tanzania kwenye maonyesho hayo unakuwa wa mafanikio.
Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Bw. Godfrey Simbeye na Mkurugenzi wa Kampuni ya Kinaygo Diana Gaspar na baadhi ya wajasiriamali watakaoshiriki maonyesho hayo, wanaeleza ni kwa namna gani Tanzania itanufaika na maonyesho hayo.
Post a Comment