0
 Rais Kenyatta akizindua daraja

Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamekuwa wakimsuta Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufuatia hatua zake za kuzindua miradi.

Wakosoaji wanasema kuwa baadhi ya miradi ilizinduliwa na Rais Kenyatta ilikuwa ikiendelea au tayari ilikuwa imezinduliwa.

Wengine nao wanasema kuwa hatua hiyo iko chini ya hadhi ya rais.

Wiki iliyopita bwana Kenyatta ambaye atawania urais tena mwezi Agosti alikuwa mjini Mombasa ambape alizindua daraja.

Baadhi wa watumiaji wa mtandao wa Twitter wametumia uzinduzi huo kama chanzo cha kumsuta rais.

Wakitumia #UhuruChallenge, wamechapisha mifano yao ya vitu walikuwa wakizindua.
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Rais Kenyatta akizindua daraja

Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamekuwa wakimsuta Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufuatia hatua zake za kuzindua miradi.

Wakosoaji wanasema kuwa baadhi ya miradi ilizinduliwa na Rais Kenyatta ilikuwa ikiendelea au tayari ilikuwa imezinduliwa.

Wengine nao wanasema kuwa hatua hiyo iko chini ya hadhi ya rais.

Wiki iliyopita bwana Kenyatta ambaye atawania urais tena mwezi Agosti alikuwa mjini Mombasa ambape alizindua daraja.

Baadhi wa watumiaji wa mtandao wa Twitter wametumia uzinduzi huo kama chanzo cha kumsuta rais.

Wakitumia #UhuruChallenge, wamechapisha mifano yao ya vitu walikuwa wakizindua.
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta

Maeneo kadha ukiwemo mji mkuu Nairobi, pwani na maeneo ya kaskazini mwa nchi yamekuwa yakikumbwa na ukoseu wa nguvu za umeme hali iliyosababisha rais kusutwa zaidi
 Ujumbe unaomsuta Rais Kenyatta

Maeneo kadha ukiwemo mji mkuu Nairobi, pwani na maeneo ya kaskazini mwa nchi yamekuwa yakikumbwa na ukoseu wa nguvu za umeme hali iliyosababisha rais kusutwa zaidi

Post a Comment

 
Top